• Maoni ya Mhariri
  • Picha za Matukio Jijini
  • Staff Webmail
  • Contacts

Main Menu

  • Home
  • Habari
  • Habari za Ilala
  • Habari za Temeke
  • Habari za Kinondoni
  • Leo zamani
  • Hadithi
  • Michezo na Burudani

Other News Paper

  • Majira
  • Business Times
  • Spoti Starehe
Kipawa madai mapya PDF Print E-mail
Monday, 08 February 2010 12:11
Stella Aron na Christina Gauluhanga, jijini

ZAIDI ya wakazi 300 wa Kipawa waliobomolewa nyumba zao licha ya kugoma kupokea fidia zao leo asubuhi wamevamia katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi huku wakilia na kuazimia kuishtaki Serikali kutokana na kubolewa makaburi yao ambayo hayajafidiwa bado.
Read more...
 
Jengo la Sophia House lanusurika kuteketea PDF Print E-mail
Monday, 08 February 2010 12:07

Na Waandishi Wetu, jijini


MOTO mkubwa umezuka katika ghorofa la Sophia House lililopo katika makutano ya Mtaa wa Bibi Titi na Azikiwe na kusababisha tafrani kwa wafanyakazi waliokuwemo ndani na wapita njia.

Read more...
 
Jengo la Sophia House lanusurika kuteketea PDF Print E-mail
Monday, 08 February 2010 12:07

Na Waandishi Wetu, jijini


MOTO mkubwa umezuka katika ghorofa la Sophia House lililopo katika makutano ya Mtaa wa Bibi Titi na Azikiwe na kusababisha tafrani kwa wafanyakazi waliokuwemo ndani na wapita njia.

Tukio hilo limetokea leo asubuhi saa moja ambapo chanzo chake bado hakijafahamika.

Mwandishi wa gazeti hili alishuhudia baadhi ya wafanyakazi wakihaha huku na kule ili kuokoa maisha yao ambapo hata hivyo wangene walinusurika kugongwa na magari yaliyokuwa yakipita kasi katika eneo hilo.

Inadaiwa kuwa moto huo ulianzia kwenye ofisi za Shirika la Ndege la South Africa ambapo haikuweza kufahamika mara moja umesababishwa na nini.

Gazeti hili lilishuhudia gari la  Kikosi cha Zimamoto cha Jiji STK 4372 likiwahi kufika eneo hilo na kuzima moto huo ili usilete madhara zaidi katika jengo hilo.

Hata hivyo gazeti hili lilimtafuta msemaji wa ofisi hizo lakini jitihada zilikwama kwa madai kuwa alikuwa bado hajafika.Chanzo na thamani ya mali iliyotekea bado haijafahamika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine Shilogile hakuweza kupatika kwa njia ya simu kuzungumzia tukio hilo kwakuwa simu yake ya mkononi ilikuwa ikiita bila kupokelewa.

 
Dhamana yasababishwa kesi ya DECI ipigwe kalenda PDF Print E-mail
Monday, 08 February 2010 12:04

Na Waandishi Wetu, Kisutu


KESI inayowakabili vigogo wanne wa kampuni ya upatu ya Development Enterpreneurship Community Initiative (DECI), imeshindwa kuendelea kuunguruma leo kutokana na jalada limepelekwa Mahakama Kuu kwa ajili ya maombi ya dhamana.

Read more...
 
Kisanduku cha ndege ya Ethiopia chapatikana PDF Print E-mail
Monday, 08 February 2010 12:03
BEIRUT,Lebanon

VIKOSI vya uokozi nchini Lebanon vimefanikiwa kupata kisanduku cheusi kilichokuwa kikitumika kutunza kumbukumbu katika ndege ya Shirika la ndege la Ethiopia iliyoanguka katika mwambao wa bahari ya Mediterranian hivi karibuni
Read more...
 
Mlipuko waua watano Marekani PDF Print E-mail
Monday, 08 February 2010 12:02

WASHINGTON DC,Marekani


WATU watano wameripotiwa kufa na wengine 12 wamejeruhiwa baada ya kutokea mlipuko katika  kituo cha kuzalisha umeme kinachoendeshwa kwa gesi katika jimbo la Connecticut nchini Marekani.

Read more...
 
Uingereza kuwabana Wanafunzi wa kigeni PDF Print E-mail
Monday, 08 February 2010 12:00
LONDON,Uingereza

WAZIRI wa  Mambo ya Ndani nchini Uingereza, Alan Johnson, amesema kuwa serikali itapunguza idadi ya visa kwa wanafunzi wa kigeni ili kukomesha matumizi mabaya ya mfumo huo.
Read more...
 
More Articles...
  • Dampo lawakera Kibondemaji
  • Kimanga Darajani yawatahadharisha wakazi wake
  • Warundi kuzihukumu Yanga, FC Lupopo
  • Manyema yamuumiza kichwa Phiri
  • Dereva wa Chatco asakwa na polisi
  • Tendwa aivaa CCJ
  • Jenereta lalipuka na kuua wanne wa familia moja
  • Hausigeli adondoka ghorofani na kufa
  • Wafanyabiashara Temeke waomba maeneo ya kudumu
  • Baa la njaa laikumba Sudan
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Page 1 of 210

Polls

Kuendelea kwa majanga ya moto mashuleni, je serikali imeshindwa kutatua tatizo hilo?
 
Banner

Who's Online

We have 32 guests online

DarLeo, Powered by Business Times Ltd!

Powered by Business Times Limited 2009