• Maoni ya Mhariri
  • Picha za Matukio Jijini
  • Staff Webmail
  • Contacts

Main Menu

  • Home
  • Habari
  • Habari za Ilala
  • Habari za Temeke
  • Habari za Kinondoni
  • Leo zamani
  • Hadithi
  • Michezo na Burudani

Other News Paper

  • Majira
  • Business Times
  • Spoti Starehe
Mwedesha pikipiki auawa kikatili Dar PDF Print E-mail
Thursday, 18 February 2010 12:20

Wanachama wa Chama cha Waendesha Pikipiki wa Mbagala Kuu na Mgeni Nani wakiwa katika maandamano kupinga mauaji ya mwenzao aliyeuwawa usiku wa kuamkia leo katika eneo la Mbagala Mgeni Nani Dar es Salaam. Mauaji ya waendesha pikipiki yameanza kushamiri katika maeneo kadhaa yaliyo nje ya jiji ambako huduma ya usafiri huo hutolewa. (Picha na Peter Twite)
 

 
Mwendesha pikipiki auawa kikatili PDF Print E-mail
Thursday, 18 February 2010 12:09
Na Waandishi Wetu, Mbagala

MWEDENSHA pikikipiki, Thomas Peter, anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25-30 amekutwa amekufa huku kichwa chake kikiwa kimetobolewa na macho kutolewa na watu wasiofahamika.
Read more...
 
Watano wafariki katika matukio tofauti Dar PDF Print E-mail
Thursday, 18 February 2010 12:07
Na Christina Gauluhanga, Polisi

WATU watano wamekufa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwamo la wawili kukutwa wakiwa wamekufa chumbani kwao katika mazingira ya kutatanisha.
Read more...
 
TAKUKURU wakwama kuwasomea mashitaka vigogo BoT PDF Print E-mail
Thursday, 18 February 2010 12:05
Na Amina Magona, Ilala

UPANDE wa mashitaka katika kesi inayowakabili wakurugenzi wanne wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) umeshindwa kuwasomea mashitaka wakurugenzi hao na kuiomba Mahakama iahirishe kesi hiyo kwa kuwa bado wanaendelea na upepelezi.
Read more...
 
Maranda na mwenzake kuanza kujitetea PDF Print E-mail
Thursday, 18 February 2010 12:03
Na Waandishi Wetu, Kisutu

WASHITAKIWA Rajab Maranda, ambaye ni Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), na mwenzake Farjala Hussein wataanza kujitetea Machi 1 na 5, mwaka huu.
Read more...
 
Kesi kina Mramba kuanza kusikilizwa PDF Print E-mail
Thursday, 18 February 2010 11:58
Na Waandishi Wetu, Kisutu

KESI inayowakabili mawaziri waandamizi katika Serikali ya Awamu ya Tatu na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Gray Mgonja ya kuisababishia hasara Serikali ya sh. bilioni 11.7 itaanza kusikilizwa Machi 8 na 9 mwaka huu.
Read more...
 
Hausigeli anayedaiwa kuwa mchawi abwaga manyanga PDF Print E-mail
Thursday, 18 February 2010 11:54
Na Waandishi Wetu, jijini/Morogoro

JANA gazeti hili liliandika taarifa za hausigeli Odillia Mikka (16), binti anayedaiwa kufanya vitendo vya kishirikina nyumbani kwa mzee Naftali Chacha jijini Dar es Salaam.
Read more...
 
More Articles...
  • Mauaji ya kikatili Musoma
  • Fundi ujenzi ateleza ghorofani na kufa
  • Mume amcharanga kisu mkewe Dar
  • Mume amcharanga kisu mkewe Dar
  • Mamia yafurika Morogoro kumpokea hausigeli ‘mwanga’
  • Operesheni Spidi Gavana
  • Hausigeli akutwa akiwanga kwa tajiri
  • Mahakimu wakwamisha kesi ya EPA
  • Mteja afa Klabu akiogelea
  • Kesi ya 'Rama mla vichwa' yapigwa kalenda
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Page 1 of 218

Polls

Kuendelea kwa majanga ya moto mashuleni, je serikali imeshindwa kutatua tatizo hilo?
 
Banner

Who's Online

We have 21 guests online

DarLeo, Powered by Business Times Ltd!

Powered by Business Times Limited 2009