Home
Dar Leo
Barabara za mitaa ya Chang'ombe ni 'mahandaki'
Monday, 23 August 2010 11:27

Na Salim Nyomolelo,Chang'ombe

WAKAZI wa Mtaa wa Bora Kata ya Chang'ombe, wamelalamikia ubovu wa barabara za mtaa huo na kuiomba Manispaa ya Temeke kuzikarabati kwa kushirikiana na wananchi.

Wakizungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti, wamesema miaka saba iliyopita barabara zilikuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami, lakini kwa sasa zimeharibika vibaya na hazina ukarabati wowote.

 
Ajali
Thursday, 19 August 2010 11:16

Dereva wa Lori la Unga wa Ngano wa Azam, namba T 583 ACY, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akiendesha kuacha njia na kugonga mti mkubwa, katikati ya Barabara ya Nyerere, eneo la Mtava, Dar es Salaam leo asubuhi. (Picha na Nyakasagani Masenza)

 
Kiongozi CUF adondosha machozi hadharani
Thursday, 19 August 2010 11:13

Rehema Maigala na Rachel Balama.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Haji Duni, ameshindwa kuendelea na mkutano baada ya kuangua kilio jukwaani na kudai kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeshindwa kuweka matunda mazuri kwa wananchi wake katika kipindi chote cha utawala wake.

Duni alitokwa machozi hayo baada ya kumwona mama mmoja aliyevamia mkutano huo uliofanyika katika kiwanja cha Bakheresa jijini, akiwa amelewa pombe na huku amebeba mtoto mgongoni huku mtoto huyo akilia njaa.

 
Wagombea urais wafunika jiji
Thursday, 19 August 2010 11:14

*Shughuli zasimama kwa muda

*Wapambe nao wafanya maajabu

 

Christina Gauluhanga na Stella Aron, jijini

 

JIJI la Dar es Salaam leo lilikumbwa na shamshara na nderemo katika baadhi ya maeneo kutokana na wagombea wa vyama vitatu kurejesha fomu za kuwania nafasi ya rais.

 

Wagombea hao walikuwa wakirejesha fomu kwa nyakati tofauti katika ofisi za Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 
Wananchi waaswa kutotumia maziwa haya
Thursday, 19 August 2010 11:12

Na Christina Gauluhanga, jijini

WANANCHI wametakiwa kuwa makini na utumiaji wa maziwa ya watoto wadogo ambapo yameibuka feki na yanaweza kuhatarisha afya za watoto.

Katika taarifa iliyosambazwa kwenye vyombo vya habari imeonesha kuwa, uhalisi wa maziwa ya Nestle umeoneshwa kwenye kopo la maziwa hayo na NAN 2, LACTOGEN 1 Na LACTOGEN 2 yanatengenezwa na Nestle ya Ufaransa, NAN 1 inatengenezwa na Nestle ya Netherlands

 
<< Start < Prev 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 Next > End >>

Page 12 of 47

Swali la Leo

Website is used for?
 

Walio Kwenye Mtandao

We have 10 guests online
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday532
mod_vvisit_counterYesterday768
mod_vvisit_counterThis week1706
mod_vvisit_counterLast week5276
mod_vvisit_counterThis month4743
mod_vvisit_counterLast month22527
mod_vvisit_counterAll days53363

We have: 6 guests, 4 bots online
Your IP: 38.107.191.108
 , 
Today: Sep 07, 2010